Wednesday, April 14, 2010

hapa ni ndani ya pantoni tukielekea Dar es salaam Zoo iliyoko maeneo ya kigamboni jijini dar es salaam Tanzania
kupanda ngamia unalipia tofauti na kiingilio chanko hapo ni buku
kabinti kangu kakiwa nje ya pantoni katika foleni ya kutoka kigamboni kurudi mjini kama ilivyozoeleka na wengi kuitwa hivyo

No comments: